BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU ADA YA MAOMBI YA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Baraza linapenda kuvitaarifu Vyuo na Taasisi za Umma zinazotoa mafunzo yanayosimamiwa na Baraza (NACTE) pamoja na Umma kwa ujumla kuwa, Serikali imeagiza kuwa Ada ya Maombi ya Udahili (Admission Fee) inayotakiwa kutozwa kwa mwanafunzi anayeomba Udahili katika Vyuo/Taasisi za umma kwa mwaka wa masomo 2017/2018 isizidi shilingi Elfu Kumi (Tsh. 10,000/=) kuanzia sasa.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA KATIBU MTENDAJI
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI (NACTE)
TAREHE: 28/07/2017
0 Komentar untuk "NACTE: TAARIFA KWA VYUO NA WAOMBAJI WA VYUO 2017/2018 "